WhatsApp Image 2022 08 05 at 3.13.56 PM

Serikali yataka ubunifu wa Watanzania ulindwe

Serikali kupitia Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara imetaka ubunifu wa Watanzania ulindwe na kuendelezwa. Naibu Waziri wa Wizara hiyo Exaud Silaoneka Kigahe amesema vijana wengi Watanzania wana ubunifu lakini bunifu hizo huchukuliwa na watu wengine kutokana na kutolindwa kisheria. Ameeleza kupitia taasisi za Wizara ambazo ni Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania…

Soma Zaidi
uta

Pato la utalii kupaa

Sekta ya utalii inatarajiwa kuchangia Pato la Taifa kwa 19.5% ifikakapo mwaka 2025/2026. Sekta hiyo inayokuwa kwa kasi nchini Tanzania imekuwa ikichangia Pato la Taifa kwa aslimia 17.5 na asilimia 30 ya fedha za kigeni. Makadirio ya wadau wa sekta hiyo yanaonesha kuwa mapato ya utalii yataongezeka kwa asilimia 6.2 kuanzia sasa hadi kufika mwaka…

Soma Zaidi
kkkk

Wakulima tumieni mitandao kujikwamua kiuchumi: TCRA

Wakulima nchini Tanzania wametakiwa kutumia fursa za mitandao katika kujikwamua kiuchumi ikiwamo huduma za masoko ya mazao wanayozalisha. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imewataka wakulima wanapoelekea kuadhimisha siku ya Wakulima (Nane Nane) kutumia mitandao ya kijamii kutangaza kilimo. Akizungumza katika banda la TCRA, mkuu wa mamlaka hiyo kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Asajile John…

Soma Zaidi
ttttt

Nyongeza ya 8,000 ni dhihaka kwa mfanyakazi: Tucta

Raisi wa Shirikisho la Vyama vya wafanyakazi TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema wamewasilisha malalamiko yao kwa Serikali kwani Kiwango cha nyongeza ya mshahara iliyoongezwa katika mwezi Julai ni kinyume na ahadi iliyotolewa na Rais Samia siku ya Mei Mosi mwaka huu kwani baadhi ya watumishi wamepata nyongeza ya shilingi Elfu Nane na kuendelea. “Hoja kubwa iliyotuleta…

Soma Zaidi
kkkk

Kariakoo saa 24

Mara baada ya ujenzi wa soko la Kariakoo kukamilika biashara zinatarajiwa kufanyika kwa saa 24. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameeleza hayo Julai 18, 2022 alipokutana na watendaji na viongozi wa mkoa kuzungumzia kampeni yake ya kuiependezesha Dar es Salaam. Mkuu huyo wa mkoa amesema Dar es Salaam ni Jiji la…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks