sawawa

TRA yakusanya Sh. trilioni 24.11

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh trilioni 24.11 sawa na ufanisi wa asilimia 97.4 ya lengo la kukusanya St trilioni 24.76 katiki kipindi cha mwaka wa fedha 2022/23. TRA imesema makusanyo hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 8.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Taarifa ya TRA…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 03 at 15.00.14

Watunzi wa filamu wanolewa

Takriban watunzi 37 wa filamu kutoka Tanzania bara na Zanzibar wamepata mafunzo kwa lengo la kuinuka na kukuza sanaa ya filamu. Mafunzo hayo yamefanyika katika hoteli ya Serena mjini Unguja yameandaliwa na Multichoice Talent Factory kwa kushirikiana na Zanzibar International Film Festival (ZIFF). Akizungunza na waandishi wa habari Mkurungenzi wa Multichoice Africa Nwabisa Matyunza amesema…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 28 at 15.56.56

Serikali: hatujazuia biashara mazao ya misitu

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema haijazuia biashara ya mazao ya misitu. Imewataka wafanyabiashara wa mazao ya misitu kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa ili kuhakikisha kuna kuwa na usawa katika biashara hiyo pamoja na matumizi endelevu ya rasilimali hiyo. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) ameyasema hayo Bungeni jijini…

Soma Zaidi
wew

Benki zatakiwa kupunguza riba

Benki mbalimbali nchini zimetakiwa kupunguza riba, ili kutoa fursa kwa wateja kukopa na kufanya uwekezaji kwenye maeneo mbalimbali. Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa ametoa rai hiyo jijini Arusha katika mkutano wa wadau wa Benki ya Maendeleo (TIB), Kanda ya Arusha. Mtahengerwa amesisitiza kuwa endapo benki zikipunguza riba katika mikopo, Watanzania wengi wataweza kukopa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks