Tanzania kutafutia vijana ajira nje ya nchi
Vijana wa Tanzania waliosoma kuanzia elimu ya darasa la saba na kuendelea wametakiwa kujisajili kwenye ofisi za Kitengo cha Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) kwa ajili ya kutafutiwa ajira nje ya nchi. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja ametoa wito huo jijini Dar es Salaam alipofungua…
