Takribani 70% ya bajeti ya serikali inatumika kwenye ununuzi, ugavi
Takribani asilimia 70 ya bajeti ya serikali ya Tanzania inatumika katika sekta ya Ununuzi na Ugavi. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko, amesema hayo wakati akizungumza katika ufunguzi wa kongamano la 15 la Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi nchini linalofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano (AICC) jijini Arusha. Dkt. Biteko…
