WhatsApp Image 2022 11 25 at 2.39.07 PM

Kampuni za bima zitakazoshindwa kulipa fidia kufutiwa leseni

Serikali imeiagiza Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (TIRA) kuzichukulia hatua kali za kisheria ikiwemo kuzifutia leseni za kufanyabiashara nchini kampuni za Bima kuwalipa wateja wao fidia za majanga kwa wakati na kwa kuzingatia thamani halisi ya mali zilizokatiwa bima. Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande, ametoa maagizo hayo alipotembelea na kukagua…

Soma Zaidi
bbb

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23 Juni, 2022 wamepitisha mapendekezo ya hayo. Wajumbe hao wamepitisha mapendekezo hayo kwenye semina iliyoandaliwa na Wizara ya Afya ya kuimarisha mfumo wa bima ya afya nchini iliyofanyika kwenye ukumbi wa White house jijini Dodoma. Waziri…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks