WhatsApp Image 2022 12 06 at 1.23.32 PM

Watanzania watakiwa kununua bidhaa za ndani

Maonesho ya saba ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yenye lengo la Kutangaza na kuhamasisha Watanzania kutumia bidhaa za Tanzania yamefunguliwa. Maonesho hayo yaliyoanza Desemba 3 hadi 9 yanayofanyika katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu Julius Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es salaam yakiwa na kauli mbiu ya ‘nunuachakwetu’. Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda…

Soma Zaidi
mwinyi

Kipaumbele cha kwanza ni kujenga miundombinu: Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema matarajio yake kwa sasa ni kujenga miundombinu kwanza. Akihutubia katika maadhimisho ya miaka miwili ya kuiongoza Zanzibar, Rais Mwinyi amesema “kipaumbele cha kwanza katika miaka miwili ijayo ni kujenga miundombinu mikubwa, miundombinu ya barabara kuu katika nchi yetu. Miundombinu ya bandari…

Soma Zaidi
kkk

Hakuna kiwanda kitakachofungwa: Waziri Kijaji

Waziri wa Uwekezaji , Viwanda na Biashara , Dk Ashatu Kijaji amesema serikali imedhamiria kuona viwanda vyote nchini vinafanya kazi kwa siku zote saba za wiki. Ameongeza kuwa hakuna kiwanda kitakachofungwa kwa kushindwa kujiendesha kutokana na masharti ya uwekezaji au kukosa masoko ya bidhaa wanazozalisha. Dk Kijaji amesema hayo alipotembelea kiwanda cha 21 st Century Textile LTD kilichopo…

Soma Zaidi
uta

Pato la utalii kupaa

Sekta ya utalii inatarajiwa kuchangia Pato la Taifa kwa 19.5% ifikakapo mwaka 2025/2026. Sekta hiyo inayokuwa kwa kasi nchini Tanzania imekuwa ikichangia Pato la Taifa kwa aslimia 17.5 na asilimia 30 ya fedha za kigeni. Makadirio ya wadau wa sekta hiyo yanaonesha kuwa mapato ya utalii yataongezeka kwa asilimia 6.2 kuanzia sasa hadi kufika mwaka…

Soma Zaidi
TODC

Vituo 5 vya gesi asilia kujengwa nchini

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kufikia Desemba, 2023, linatarajia kujenga vituo vitano vya gesi asilia nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonyesho ya 16 Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dk. James Mataragio amesema vituo hivyo vitasaidia kupunguza malalamiko ya kuwa na vituo vichache vya gesi asilia….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks