TARI yasaini mkataba wa ruzuku Tsh bilioni 2.4
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imesaini mkataba wa ruzuku ndogo wa jumla ya Kroner ya Norway milioni 9.9 sawa na Tsh. Bilioni 2.4 kwa ajili ya kuendeleza elimu na utafiti kuhusu masuala ya afya ya udongo na uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hati hiyo imesainiwa na Ivar H. Kristensen ambae ni…
