Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

WhatsApp Image 2023 09 14 at 13.33.35

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya Akaunti ya Dhamana kwa Makampuni ya Bima (TRUST ACCOUNT).

Taarifa ya benki hiyo inasema uzinduzi huo ni katika kuongeza uaminifu na uwazi wa shughuli za bima pamoja na kulinda maslahi ya watumiaji wa huduma za bima.

Uzinduzi huu wa Akaunti ya Dhamana (TRUST ACCOUNT) pamoja na mafunzo ulifanyika wakati wa warsha iliyowakutanisha wadau muhimu kutoka sekta ya bima, ikiwa ni pamoja na TIRA na makampuni ya bima katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.


Discover more from PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Discover more from PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading

Enable Notifications OK No thanks