WhatsApp Image 2024 07 10 at 14.57.22

Serikali kuajiri walimu 12,000 mwaka wa fedha 2024/2025

Serikali ya Tanzania imesema katika mwaka wa fedha 2024/25 itaajiri walimu 12,000 ili kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu nchini. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Zainab Katimba amesema hayo wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kichangachui iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji. Katimba ameeleza mpango huo wa Serikali kuajiri walimu, mara baada ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 07 at 12.39.29

Viwango vya malipo kwa waongozoza watilii, wapishi kuwekwa kisheria

Serikali iko kwenye mchakato wa kuweka malipo ya wapagazi, waongoza watalii na wapishi katika mlima kilimanjaro kuwa kisheria. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Dunstan Kitandula amesema hayo Bungeni Dodoma wakati akijibu swali lambunge wa Vunjo Dkt. Charles Stephen Kimei ambaye alitaka kujua lini Serikali itafanya mapitio ya viwango vya malipo ya ujira kwa wapagazi,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks