TANAPA yapongezwa juhudi za kutangaza utalii

WhatsApp Image 2022 05 30 at 4.32.13 PM

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) limepongezwa kwa juhudi kubwa inazofanya za kutangaza vivutio vya utalii.

Pongezi hizo zimetolewa leo na Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji Dkt. Ashatu Kijaji alipotembelea banda la TANAPA wakati akifungua rasmi maonesho ya 9 ya biashara yanayofanyika jijini Tanga.

Maonesho haya yanaendelea hadi tarehe 6/6/2022.
Sekta mbalimbali, mashirika ya serikali na binafsi yanashiriki kwenye maonesho haya.

Pia, Mkuu wa mkoa wa Tanga Adam Malima amehudhuria ufunguzi wa maonesho ya 9 ya biashara katika jjiji la Tanga.


Discover more from PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Discover more from PesaTu – Habari za Biashara na Uchumi Tanzania

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading

Enable Notifications OK No thanks