WhatsApp Image 2023 07 03 at 15.00.14

Watunzi wa filamu wanolewa

Takriban watunzi 37 wa filamu kutoka Tanzania bara na Zanzibar wamepata mafunzo kwa lengo la kuinuka na kukuza sanaa ya filamu. Mafunzo hayo yamefanyika katika hoteli ya Serena mjini Unguja yameandaliwa na Multichoice Talent Factory kwa kushirikiana na Zanzibar International Film Festival (ZIFF). Akizungunza na waandishi wa habari Mkurungenzi wa Multichoice Africa Nwabisa Matyunza amesema…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 09 at 17.28.13

Tutahakikisha tunaondoa umaskini kwenye jamii: Serikali

Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo yakiwemo mashirika yasiyo ya kiserikali ili kuhakikisha Tanzania inatimiza Malengo ya Maendeleo Endelevu ya 2030 (SDGs). Malengo hayo, ambayo pamoja na mambo mengine, yamelenga kuondoa umasikini katika jamii. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Jenifa Omolo, kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara hiyo Dkt….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks