Screen Shot 2025 02 20 at 11.58.50 AM

Kuweka akiba iwe lazima kila unapopata fedha

Wananchi wametakiwa kubainisha matumizi yasiyo ya lazima na kuyaondoa na kufanya kuweka akiba kuwa ni sehemu ya  lazima kila wanapopata fedha. Aidha, Afisa Mwandamizi Masoko na Mawasiliano kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS, ametoa wito kwenye semina zinatolewa na Wizara ya Fedha kupitia Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha ilifanyika katika Ukumbi wa…

Soma Zaidi
sawaqq

Asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati safi ya kupikia ifakapo 2034

Inategemewa kuwa baada ya miaka tisa kutoka sasa (2025), asilimia 80 ya Watanzania watakuwa wanatumia nishati safi ya kupikia. Hiyo, itakuwa ni matokeo ya utekelezaji wa Mkakati wa Nishati safi ya Kupikia kitaifa unaosimamiwa na Kamati ya wataalam iliyoundwa na Maafisa Waandamizi kutoka katika Wizara na Taasisi mbalimbali. Kamati hiyo imefanya kikao kazi katika Ofisi…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 06 at 1.56.23 PM

Ukosefu wa mitaji watajwa changamoto inayowakabili wachimbaji wadogo

Kukosekana kwa mitaji kumetajwa kuwa miongoni mwa changamoto inayowakabili wachimbaji wadogo wa madini katika mgodi wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa. Mwenyekiti wa Wachimbaji Mkoa wa Iringa ambaye pia ni miongoni mwa wamiliki wa mgodi wa Konga, uliopo kijiji cha Itengulinyi, mkoani Iringa Ibrahim Msigwa amesema ameitaja…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 22 at 11.06.48 AM

Tanzania kukusanya bilioni 100 kutoka bahati nasibu

Wizara ya Fedha inatarajia kukusanya Sh100 bilioni kila mwaka kutokana na uwekezaji wa Dola milioni 20 za Marekani uliofanywa na kampuni ya ITHUBA Tanzania, iliyopata leseni ya miaka minane kuendesha Bahati Nasibu ya Taifa. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, alipozungumza katika hafla ya kutambulisha uwekezaji huo. Amesema amesema Serikali itachukua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks