Waziri Mkuu achangisha takribani Tsh bilioni 1.6 kwa ajili ya Mei Mosi
Jumla ya Shilingi bilioni 1.62 zimekusanywa zikiwa ni ahadi na fedha taslimu kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, (Mei Mosi). Fedha hizo zimepatikana usiku wa Aprili 5, 2025 katika hafla ya chakula cha jioni kwa ajili ya kuchangisha fedha za kugharamia maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo Kitaifa yatafanyika mkoani Singida….
