rrr

Chuo Kikuu kione aibu wahitimu wakichoma mahindi barabarani: Rais Ruto

Rais wa Kenya William Ruto amevitaka vyuo nchini humo kuzalisha wahitumu wanaoajirika. Amesema wanaangalia namna ya kuboresha kozi na aina ya ufundishaji katika vyuo na ubora wa wahitimu wanaozalishwa na vyuo husika. Rais Ruto amevitaka vyuo nchini humu kuboresha ufundishaji na kusema kama wanatumia pesa za umma, umma unatakiwa upate thamani kwa kila Shilingi ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks