Wizara ya kilimo yakaribisha wawekezaji
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kutoa kipaumbele kwa wawekezaji wenye nia ya kuwekeza kwenye viwanda vya uongezaji thamani wa mazao ya kilimo kwani ardhi ya kuzalisha malighafi za viwanda hivyo ipo. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Dkt. Hussein Omar amesema hayo Julai 22, 2024 alipokutana na wawekezaji na wafanyabiashara wa mazao mbalimbali ya kilimo…
