wqw

Watanzania washauriwa kuwekeza kwenye misitu

Watanzania wametakiwa kuwekeza katika misitu na kushiriki katika ufugaji nyuki kwa kuzingatia njia sahihi zilizofanyiwa utafiti ili wapate tija katika rasilimali za misitu zilizopo nchini. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Utafiti wa Matumizi ya Misitu Dkt. Chelestino Balama wakati akiongea na baadhi ya timu ya wataalamu wa misitu na nyuki na waandishi wa habari…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 17 at 12.35.28

Rais Samia aahidi kufanya “Royal Tour” kuitangaza hifadhi ya Katavi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kufanya filamu nyingine ya Royal Tour katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi baada ya kujionea wanyamapori mbalimbali katika Hifadhi hiyo. Dkt. Samia ameyasema hayo Julai 15, 2024 wakati akizungumza na wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Mkoani Katavi. Kauli hiyo inafuatia ombi…

Soma Zaidi
Kariakoo

Soko la Kariakoo kufunguliwa mwezi Agosti

Shirika la Masoko ya Kariakoo limetangaza kurejeshwa kwa wafanyabiashara 891 sokoni Kariakoo baada ya ujenzi wa soko jipya na ukarabati wa soko kuu kukamilika. Taarifa ya Manejimenti ya Masoko ya Kariakoo inaeleza kuwa orodha hiyo ina majina ya wafanyabiashara waliokidhi sifa na vigezo. “Wafanyabiashara wanaodaiwa na Shirika ambao wapo kwenye orodha wanajulishwa kuwa hawatarejeshwa sokoni…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 10 at 14.57.22

Serikali kuajiri walimu 12,000 mwaka wa fedha 2024/2025

Serikali ya Tanzania imesema katika mwaka wa fedha 2024/25 itaajiri walimu 12,000 ili kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu nchini. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Zainab Katimba amesema hayo wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kichangachui iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji. Katimba ameeleza mpango huo wa Serikali kuajiri walimu, mara baada ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks