Waajiri wahimizwa kuongeza utu, umakini, kukuza ubunifu, ufanisi
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amewahimiza waajiri nchini kuongeza umakini na kuzingatia misingi ya utu mahali pa kazi ili iwe motisha na chachu kwa watumishi kuongeza ubunifu na ufanisi kazini. Dkt. Biteko amesema hayo wakati akimwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Phillip Mpango katika usiku…
