Screen Shot 2025 03 17 at 2.59.47 PM

Mila, desturi vyatajwa baadhi ya vikwazo wanawake, vijana kushiriki katika uongozi

Baadhi ya mila, desturi, imani na mfumo dume vimetajwa kuwa moja ya vikwazo vinavyowazuia wanawake na vijana wengi kushiriki kikamilifu katika siasa na uongozi wa jamii. Utafiti uliofanywa na Shirika la Mazingira na Haki za Binadamu na Jinsia (Envirocare), umeonesha baadhi ya changamoto hizo zikiwemo pia rushwa ya ngono na ukosefu wa fedha kwa kundi…

Soma Zaidi
swe

Mbunge alia na mikopo kausha damu

Mbunge wa viti maalum Mwantumu Zodo ametaka kufahamu ni lini Serikali itarejesha mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ambayo imesitishwa kwa muda mrefu. Akizungumza Bungeni jijini Dodoma Februari 02, 2023 amehoji “kwa kuwa wakina mama bado wanahangaika na mikopo ya kausha damu mitaani, je ni lini sasa serikali itaanza tena zoezi hili la utoaji mikopo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks