WhatsApp Image 2024 10 25 at 17.18.30

Dkt. Kiruswa awataka wananchi Rukwa kuomba leseni za uchimbaji mdogo wa madini

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka wananchi wa mkoa wa Rukwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya madini kwa kuomba Leseni za Uchimbaji Mdogo ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa madini. Dkt. Kiruswa ametoa wito huo leo, Oktoba 24, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Zimba na Misheni vilivyoko katika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 23 at 11.06.51 1

Rais Dkt. Mwinyi asisitiza fursa za kiuchumi na kuitangaza Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Mabalozi wa Nchi za Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania kuimarisha ushirikiano na fursa za kiuchumi pamoja na kuutangaza utalii wa Zanzibar kimataifa. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo Oktoba 21, 2024, alipozungumza na mabalozi waliotembelea Ikulu baada ya kumaliza ziara yao…

Soma Zaidi
rere

Tanzania kununua helikopta kuchunguza madini ardhini

Serikali ya Tanzania imesema ina mpango wa kununua helikopta itakayofungwa vifaa maalum vya uchunguzi wa madini ardhini. “Tutakwenda kununua helkopta ambayo tutaifunga vifaa vya utafiti kwa ajili ya ‘kuscan’ ardhi yetu kuweza kufahamu chini ya ardhi kuna nini,” ameeleza Waziri wa Madini Antony Mavunde. Waziri Mavunde anaeleza “bahati nzuri hivi sasa katika Dunia ya leo…

Soma Zaidi
Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

Wakopeshaji watakiwa kuwa na leseni

Ni ukweli usiopingika kuwa hali ngumu ya maisha, kukosekana kwa kipato cha uhakika kumesababisha wananchi wengi kuishi kwa kutegemea mikopo kutoka sehemu mbalimbali rasmi na zisizo rasmi. Ipo ile ambayo hutolewa na taasisi za fedha kama benki, vikundi vya kuwezeshana na mingine hutolewa na watu binafsi. Mikopo hii kwa namna moja ama nyingine imekuwa ikisababisha…

Soma Zaidi
mmm

Ukiuzia madini nyumbani tutakufutia leseni: Waziri Mavunde

Serikali imepiga marufuku biashara ya madini kufanyika majumbani kwa watu na kusisitiza kwamba hatua kali za kisheria zitachukuliwa ili kudhibiti utoroshaji madini na upotevu wa mapato ya Serikali. Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema hayo Septemba 17, 2024 Wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo kukagua miradi na maendeleo ya shughuli…

Soma Zaidi
mav

Usimamizi thabiti wa madini mkakati utakuza uchumi wa Afrika: Waziri Mavunde

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amezitaka nchi za Afrika wazalishaji wa madini mkakati kuweka usimamizi madhubuti wa rasilimali hizo ili zisaidie kukuza uchumi kwa kuhakikisha unakuwepo mkakakati imara wa kuongeza thamani madini hayo katika nchi wazalishaji. Mavunde ameyasema hayo Oktoba 02, 2024 wakati akitoa hotuba yake akishiriki Mkutano wa 13 wa Utajiri wa Madini Jijini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks