Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa
Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kwa mwaka ili kukabiliana na athari za papo kwa hapo zinazotokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akizindua rasmi Ripoti ya Mapitio ya Hali ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2024, iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya…
