Screen Shot 2025 04 25 at 1.59.37 PM

Kutofahamu thamani ya uwekezaji changamoto kampuni kutoorodheshwa Soko la Hisa DSM

Serikali imesema kuwa Kampuni ambazo hazijaorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) hukutana na changamoto za kutofahamu thamani halisi ya uwekezaji kutokana na kukosekana kwa ukwasi wa hisa zao. Hayo yalisemwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande  wakati akijibu swali la Mbunge wa Geita Mjini, Constantine John…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 10 at 3.43.18 PM

Jukwaa la Utalii wa Chakula Duniani, CHAN kuendelea kutangaza utalii wa Tanzania

Jukwaa la Pili la Utalii wa Chakula Duniani kwa Kanda ya Afrika linaloandaliwa na Shirika la Utalii Duniani linatarajiwa kufanyika hapa nchini Aprili 2025 jijini Arusha. Haya yamebainishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa alipokuwa akiwasilisha mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali na makadirio ya mapato na matumizi…

Soma Zaidi
aasa

Tanzania yabaini vivutio vipya vya utalii 337

Wizara ya Maliasili na Utalii katika kipindi cha mwaka 2024/2025 imebaini vivutio vipya vya utalii 337 katika Mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi na Kigoma. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipokuwa akijibu swali la Prof. Patrick Alois Ndakidemi aliyetaka Kujua Serikali ina mkakati gani…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks