Tanzania yakaribisha Taifa la Qatar kuwekeza katika sekta ya fedha
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba, amelikaribisha Taifa la Qatar kuwekeza katika sekta ya fedha nchini kwa lengo la kustawisha uchumi wa nchi zote mbili. Gavana Tutuba ameyasema hayo wakati wa mazungumzo na Balozi wa Taifa la Qatar nchini Tanzania, Fahad Rashid Al Marekhi katika ofisi za Makao Makuu ndogo ya BoT…
