WhatsApp Image 2023 10 20 at 11.55.32

Maliasili na Utalii kutumia akili bandia (AI)

Wizara ya Maliasili na utalii imesema inaanza kutumi akili bandia (Artificial Intelligence) katika kutekeleza majukumu yake ili kuleta ufanisi wenye tija katika tafiti za Wanyama. Imeeleza kuwa hivi karibuni itaanza kutumia AI kwenye kuandikisha watalii kutokea nchi wanazotoka hadi kwenye vivutio vya utalii watakavyotembelea. Haya yamebainika wakati Kamati ya Bunge ya kudumu ya Ardhi, Maliasili…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 18 at 12.07.51

Tanzania kukuza sekta ya utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonyesha utayari wa kuendelea kuimarisha masuala ya uwekezaji, mafunzo na matumizi ya teknolojia katika kukuza sekta ya utalii kwa kufanyia kazi miongozo inayotolewa na Shirika la Utalii Duniani (UNWTO). Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Jasmine Kairuki amesema hayo baada ya kushiriki Jukwaa la Uwekezaji (Global Investment Forum)…

Soma Zaidi
sere

Serengeti yashinda tena

Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imeendelea kung’ara baada ya kushinda Tuzo ya Hifadhi bora Afrika kwa mwaka 2023 (Africa’s Leading National Park 2023) ikiwa ni mara ya tano mfululizo. Tuzo hiyo imetolewa na ‘World Travel Awards’ na kupokelewa na Mkuu wa Kanda ya Magharibi wa Tanapa, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi, Izumbe Msindai usiku wa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 09 at 11.36.31

Vijana 20 wapata ufadhili wa Rais Samia

Chuo cha Utalii kimepongezwa kwa kupokea vijana 20 kwa ajili ya kusomea masuala ya Utalii na ukarimu kupitia ufadhili wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Mashaka Biteko wakati akifungua Kongamano la uwekezaji la Wilaya ya Pangani katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks