WhatsApp Image 2024 09 10 at 14.01.32

Mradi wa Tsh milioni 50 wakabidhiwa Jumuiya Hifadhi ya Wanyamapori

Mradi wa Tsh milioni 50 wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) umekabidhiwa kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Mradi huo uliopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali vyenye gharama ya shilingi milioni 50. “Endapo WAGA watashiriki…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 08 19 at 12.28.57

Asali ya Tanzania yapata kibali kuuzwa China

Katika hatua kubwa inayotarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ya ufugaji nyuki, Serikali ya Tanzania imefanikiwa kusaini makubaliano na Serikali ya China, kuruhusu uuzaji wa asali ya Tanzania kwenye soko la China. Makubaliano haya yanafuatia jitihada za muda mrefu za kuhakikisha bidhaa za asali kutoka Tanzania zinapata nafasi ya kuuzwa katika soko kubwa zaidi duniani. Akizungumza…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 22 at 12.59.57

Hifadhi ya msitu asilia Matogoro ni utajiri na fursa iliyofichika ya kiutalii mikoa ya Kusini

Hifadhi ya Msitu Asili Matogoro yenye mandhari ya kuvutia ni kichocheo adhimu na muhimu cha kukuza utalii katika mikoa ya kusini hususan mkoa wa Ruvuma. Hifadhi hiyo imebeba hazina kubwa ya kihistoria ikiwemo uwepo wa mapango makubwa yaliyotumika wakati wa vita ya majimaji. Haya yamebainishwa na Naibu waziri wa maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipofanya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 17 at 12.35.28

Rais Samia aahidi kufanya “Royal Tour” kuitangaza hifadhi ya Katavi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kufanya filamu nyingine ya Royal Tour katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi baada ya kujionea wanyamapori mbalimbali katika Hifadhi hiyo. Dkt. Samia ameyasema hayo Julai 15, 2024 wakati akizungumza na wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Mkoani Katavi. Kauli hiyo inafuatia ombi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks