Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.

Jinsi Zanzibar ilivyotekeleza ilani ya CCM kiuchumi, elimu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi imewasilisha jinsi ilivyotekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya 2020/2025 katika nyanja mbalimbali ikiwemo kiuchumi, elimu, afya, uwekezaji na miundombinu. Hii ni katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akiwasilisha utekelezaji wa Ilani hiyo jijini Dodoma, Makamu wa pili wa…

Soma Zaidi
Hizi hapa nchi 71 raia wake kuingia Tanzania bila VIZA

Hizi hapa nchi 71 raia wake kuingia Tanzania bila VIZA

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. kwa sasa watalii kutoka mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival) kwenye viwanja vya ndege vya kimataifa kama Julius Nyerere (Dar es Salaam), Kilimanjaro na Zanzibar. Haya yamebainishwa na…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 10 at 3.43.18 PM

Jukwaa la Utalii wa Chakula Duniani, CHAN kuendelea kutangaza utalii wa Tanzania

Jukwaa la Pili la Utalii wa Chakula Duniani kwa Kanda ya Afrika linaloandaliwa na Shirika la Utalii Duniani linatarajiwa kufanyika hapa nchini Aprili 2025 jijini Arusha. Haya yamebainishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa alipokuwa akiwasilisha mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali na makadirio ya mapato na matumizi…

Soma Zaidi
aasa

Tanzania yabaini vivutio vipya vya utalii 337

Wizara ya Maliasili na Utalii katika kipindi cha mwaka 2024/2025 imebaini vivutio vipya vya utalii 337 katika Mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi na Kigoma. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipokuwa akijibu swali la Prof. Patrick Alois Ndakidemi aliyetaka Kujua Serikali ina mkakati gani…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 02 at 12.53.30 PM

Taasisi za uhifadhi zatakiwa kulinda maeneo kwa teknolojia

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana amezitaka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii zinazojishughulisha na masuala ya uhifadhi kuhakikisha zinaweka mikakati ya kulinda maeneo ya hifadhi kwa teknolojia. Ameyasema hayo Machi 29,2025 alipokuwa akizungumza na Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Arusha wakati wa ziara ya kikazi ambapo alikagua mradi…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 06 at 3.47.11 PM

Tanzania yaonesha fursa za uwekezaji sekta ya utalii nchini Ujerumani

Wizara ya Maliasili na utalii kupitia taasisi zake za Bodi ya Utalii Tanzania(TTB), Shirika la hifadhi za Taifa(TANAPA) na Mamlaka ya Uhifadhi wa Eneo la Ngorongoro(NCAA) imeendelea kutangaza fursa za uwekezaji katika sekta ya utalii nchini. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipotembelea banda la Maonesho la Tanzania katika Maonesho…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 03 at 10.59.05 AM

Kuifungua Kusini kiutalii ni kazi endelevu: CP. Wakulyamba

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na jitihada za kuifungua Kusini kiutalii kwa kuboresha usimamizi wa Maliasili na kukuza Utalii kwenye vivutio hivyo adhimu na adimu duniani hali itakayoongeza kuvutia watalii zaidi na kuchangia pato la taifa. Hayo yamebainishwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 03 at 10.21.02 AM

Wizara ya Utalii, A & Kent Group kushirikiana kuleta watalii zaidi Tanzania

Wizara ya Maliasili na Utalii na moja ya makampuni makubwa ya utalii duniani ya Abercrombie and Kent Travel Group (AKTG) wamekubaliana kuimarisha ushirikiano kuongeza watalii wa kimataifa nchini Tanzania. Hayo yamefikiwa wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi na ujumbe wake walipokutana na Mtendaji Mkuu wa AKTG Christina Levis nchini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks