Safari zarejea SGR - TRC | pesatu.co.tz

Safari zarejea SGR-TRC

Safiri kwa Amani: safari zarejea SGR-TRC Yathibitisha Kuanza Tena kwa Huduma Baada ya Hitilafu Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa iliyopokewa kwa furaha na mamia ya wasafiri na Watanzania kwa ujumla, ikithibitisha kurejea kwa huduma za treni za kisasa za Standard Gauge Railway (SGR). Hatua hii inafuatia usitishaji wa muda mfupi wa safari uliofanywa…

Soma Zaidi
sawaaaa

Uharibifu wa miundombinu wasitisha safari za treni Tanzania

Uharibifu wa miundombinu ya reli umesababisha Shirika la Reli Tanzania (TRC) kusitisha huduma za safari za treni kwa muda kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali. Taarifa iliyotolewa na TRC Januari 17, 2024 imetaja maeneo yaliyoharibiwa na mvua kuwa ni Mazimbu, Kilosa na Munisagara mkoani Morogoro, Godegode na Gulwe (Dodoma), Ruvu Junction, Wami, Mvave mkoani…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 19 at 13.07.13

Wadau usafirishaji waomba nauli ipande

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekutana na wadau wa usafirishaji katika mkutano maalum uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam Oktoba 18, 2023 ambapo wadau hao wamewasilisha ombi la kupandishwa kwa nauli. RC Chalamila amesema wadau wa usafirishaji ni kundi muhimu hakuna anayeweza kubeza ukweli huo,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks