Tz kuwasilisha Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030
Tanzania inatarajia kuwasilisha Taarifa ya Mapitio ya Hiari ya Nchi ya Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030, katika Jukwaa la Juu la Siasa la Umoja wa Mataifa. Taarifa hiyo itawasilishwa Julai 18, 2023, wakati wa mikutano ya Jukwaa hilo inayoendelea, Jijini New York, Marekani. Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi…
