BoT kukomesha udhalilishaji wanaofanyiwa wakopaji wadogo
Serikali imetoa wito kwa watoa huduma za kifedha nchini kufuata sheria na taratibu za huduma za Fedha ikiwemo kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili kuhakikisha huduma hizo zinatolewa kwa ufanisi bila kuwaumiza na kuwadhalilisha wanufaika na hatimaye kukuza uchumi wa nchi. Afisa Mkuu Mwandamizi, Idara ya Usimamizi wa Huduma ndogo za Fedha…
