WhatsApp Image 2024 10 22 at 12.13.08

Silinde: Tunathamini mchango wa SACCOS Kwenye utoaji wa huduma jumuishi za kifedha

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amewataka Viongozi na Watendaji wa SACCOS nchini kuendelea kubuni bidhaa na huduma zinazoendana na mahitaji ya wanachama pamoja na kuendelea kutoa elimu ya fedha kwa wanachama na Watanzania ili kuongeza matumizi ya huduma za fedha nchini. Amesema hayo Oktoba 21, 2024 wakati akifungua Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks