Screen Shot 2025 02 05 at 2.07.15 PM

Serikali kuhakikisha Namba ya Utambulisho wa Kodi (TIN) inabaki ile ile kampuni ikibadilisha jina kukwepa ulipaji kodi

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imechukua hatua madhubuti kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi unaosababishwa na mabadiliko ya majina ya kampuni za kigeni kwa kuhakikisha Namba ya Utambulisho wa Kodi (TIN) inabaki ile ile hata kama kampuni itabadilisha jina. Hayo ameyasema bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Tarime Mjini Michael…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 22 at 11.06.48 AM

Tanzania kukusanya bilioni 100 kutoka bahati nasibu

Wizara ya Fedha inatarajia kukusanya Sh100 bilioni kila mwaka kutokana na uwekezaji wa Dola milioni 20 za Marekani uliofanywa na kampuni ya ITHUBA Tanzania, iliyopata leseni ya miaka minane kuendesha Bahati Nasibu ya Taifa. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, alipozungumza katika hafla ya kutambulisha uwekezaji huo. Amesema amesema Serikali itachukua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks