Benki ya Afrika kushirikiana na serikali kujenga masoko ya kisasa
Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) imetoa ofa ya kujenga masoko ya kisasa kwaajili ya machinga kwenye Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amefanya kikao baina ya na viongozi mbalimbali kujadili suala hilo. Akizungumza wakati wa kikao kilichofanyika ofisi ya Mkuu wa Mkoa, RC Makalla…
