sasaa

Wanawake watakiwa kupata elimu ya fedha kabla ya mikopo

Wanawake wametakiwa kuacha kukimbilia kukopa fedha kabla ya kuwa na elimu ya fedha. Kutokuwa na elimu ya fedha kunawasababisha kuishia kupata matatizo mbalimbali kutokana na madeni kwa kushindwa kulipa mikopo hiyo. Beng’i Issa ambae ni Katibu  Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi (NEEC), ameyasema hayo na kudai kuwa sekta  ya fedha imekuwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 01 19 at 11.58.56

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya kilimo inatarajiwa kukua kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2030 ukilinganisha na ukuaji wa sasa wa takribani 3.6%. Rais Samia amesema Tanzania imetengeneza fursa za kitaifa kwa ajili ya mabadiliko ya mfumo wa chakula unaotarajia kuongeza uzalishaji wa chakula, kuimarisha maisha ya watu na kusaidia kukabiliana na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 12 15 at 3.56.00 PM

Malighafi changamoto viwanda Zanzibar

Ukosefu wa malighafi umetajwa kuwa moja ya changamoto katika utengenezaji wa bidhaa za nguo kwenye Viwanda vya Idara Maalum (SMZ) Zanzibar. Viwand hivyo, hulazimika kuagiza vitambaa kwa ajili ya kushona nguo mbalimbali zinazotengenezwa kiwandani hapo nchini China. Afisa habari wa Viwanda hivyo ambavyo kwa sasa vina jina la MARASHI anasema malighafi hizo ni moja ya…

Soma Zaidi
Pesatu Ujasiriamali

Mambo matano mjasiriamali anapaswa kujua

Ujasiriamali unaendelea kuwa kimbilio la wengi katika harakati za kupambana na ajira. Wananchi wengi wamekuwa wakitambua fursa na kutumia nafasi hiyo kujiajiri ili kumudu maisha. Japokuwa kundi kubwa la watu wanajikita katika kujiajiri, ni wachache tu ambao wanafikia mafanikio na kutimiza malengo yao. Unaweza kujiuliza, asilimia kubwa wanakosea wapi? Ni vitu gani ambavyo kila mjasiriamali…

Soma Zaidi
mwinyi

Kipaumbele cha kwanza ni kujenga miundombinu: Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema matarajio yake kwa sasa ni kujenga miundombinu kwanza. Akihutubia katika maadhimisho ya miaka miwili ya kuiongoza Zanzibar, Rais Mwinyi amesema “kipaumbele cha kwanza katika miaka miwili ijayo ni kujenga miundombinu mikubwa, miundombinu ya barabara kuu katika nchi yetu. Miundombinu ya bandari…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2021 07 16 at 14.50.17

Maganda ya korosho yanavyotengeneza mafuta

Kama ulikuwa hufahamu kuwa maganda yatokanayo na zao la korosho yanatengeneza mafuta, basi sasa ujue. Lydia Amor ni mjasiriamali katika Halmashauri ya Mji wa Masasi ambae pia ni Mkurugenzi wa Lige Enterprise alifika katika maonyesho ya 45 ya Biashara (sabasaba) na kuweza kuonyesha bidhaa mbalimbali ikiwemo zao la korosho. “Nimefurahi sana kuweza kushiriki katika maonyesho…

Soma Zaidi
mtt

Vijana watakiwa kutumia teknolojia kukuza ubunifu

Kutokana na kukua kwa teknolojia, vijana wa Kitanzania wametakiwa kutumia fursa za kidigitali ili kuweza kukuza ubunifu na ujasiriamali na kupata masoko ndani na nje ya nchi. Mkurugenzi Mtendaji wa Sahara Venture, Jumanne Mtambalike ametoa wito huo kwa vijana katika Kongamano la ubunifu, teknolojia na ujasiriamali lililoandaliwa Sahara Ventures kwa kushirikana na wadau wengine wakiwemo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks