Vyama vya ushirika vyatakiwa kuwasaidia wanachama wao
Vyama vya Ushirika nchini vimetakiwa kuwasaidia wanachama wao na siyo kuwa mzigo kwa wanachama ikiwemo kukomesha ubadhilifu katika Vyama hivyo. Agizo hilo limetolewa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo April 21, 2024 wakati wa kupokea Taarifa ya Maendeleo ya Uanzishwaji wa Benki ya Ushirika Tanzania katika kikao cha Kamati…
