WhatsApp Image 2024 10 18 at 16.11.59 1

CBT kuwa chombo cha majadiliano baina ya wakulima na benki za kibiashara

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) amesema Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) itakuwa chombo muhimu cha majadiliano na makubaliano ya kibiashara kati ya wakulima na Benki za Kibiashara. Bashe amesema hayo Oktoba 17, 2024 katika Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Wananchama wa Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) uliofanyika jijini Dodoma. Waziri Bashe amesema CBT inaanza…

Soma Zaidi
rere

Tanzania kununua helikopta kuchunguza madini ardhini

Serikali ya Tanzania imesema ina mpango wa kununua helikopta itakayofungwa vifaa maalum vya uchunguzi wa madini ardhini. “Tutakwenda kununua helkopta ambayo tutaifunga vifaa vya utafiti kwa ajili ya ‘kuscan’ ardhi yetu kuweza kufahamu chini ya ardhi kuna nini,” ameeleza Waziri wa Madini Antony Mavunde. Waziri Mavunde anaeleza “bahati nzuri hivi sasa katika Dunia ya leo…

Soma Zaidi
mmm

Ukiuzia madini nyumbani tutakufutia leseni: Waziri Mavunde

Serikali imepiga marufuku biashara ya madini kufanyika majumbani kwa watu na kusisitiza kwamba hatua kali za kisheria zitachukuliwa ili kudhibiti utoroshaji madini na upotevu wa mapato ya Serikali. Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema hayo Septemba 17, 2024 Wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo kukagua miradi na maendeleo ya shughuli…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 03 at 14.14.20

Tanzania yaishukuru IMF

Tanzania imelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo kupitia misaada na mikopo nafuu inayoipatia kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kukuza uchumi wa nchi. Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ametoa shukrani hizo Jijini Dodoma, wakati akifungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya…

Soma Zaidi
mav

Usimamizi thabiti wa madini mkakati utakuza uchumi wa Afrika: Waziri Mavunde

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amezitaka nchi za Afrika wazalishaji wa madini mkakati kuweka usimamizi madhubuti wa rasilimali hizo ili zisaidie kukuza uchumi kwa kuhakikisha unakuwepo mkakakati imara wa kuongeza thamani madini hayo katika nchi wazalishaji. Mavunde ameyasema hayo Oktoba 02, 2024 wakati akitoa hotuba yake akishiriki Mkutano wa 13 wa Utajiri wa Madini Jijini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks