Maandalizi ujenzi chuo cha TEHAMA waanza
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema maandalizi ya ujenzi wa chuo mahiri cha TEHEMA utakaofanyika katika eneo la Nala Dodoma yameanza rasmi Januari 29, 2024. Taarifa ya Wizara hiyo inasema Wizara inatekeleza miradi miwili ya ujenzi wa Vyuo vya TEHEMA katika jiji la Dodoma na eneo la Buhigwe mkoani Kigoma….
