Screen Shot 2025 02 20 at 11.58.50 AM

Kuweka akiba iwe lazima kila unapopata fedha

Wananchi wametakiwa kubainisha matumizi yasiyo ya lazima na kuyaondoa na kufanya kuweka akiba kuwa ni sehemu ya  lazima kila wanapopata fedha. Aidha, Afisa Mwandamizi Masoko na Mawasiliano kutoka Kampuni ya Uwekezaji ya UTT AMIS, ametoa wito kwenye semina zinatolewa na Wizara ya Fedha kupitia Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha ilifanyika katika Ukumbi wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 4.14.35 PM

Serikali ya Tanzania yasema viwanda vinne vya uongezaji thamani madini kujengwa Dodoma

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema, ujenzi wa Viwanda vinne vya uchenjuaji madini ya Shaba ikiwemo kiwanda cha Shengde Precious Metal Resources Co. Limited kinachoendelea kujengwa katika eneo la Mahungu Kata ya Nala Jijini Dodoma vinatarajiwa kuwa mkombozi wa wachimbaji wadogo wa Madini ya Shaba nchini. Waziri Mavunde amebainisha hayo Februari 16, 2025 baada ya…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 11.49.58 AM

Mgodi wa Buzwagi Kahama kufungwa, kusitisha uzalishaji wa madini ya dhahabu

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesisitiza kuwa ufungaji wa mgodi wa Buzwagi hautaathiri shughuli za kiuchumi katika Wilaya ya Kahama, kwani mipango madhubuti imewekwa kuhakikisha kuwa eneo hilo linaendelea kuwa na mchango mkubwa katika uchumi wa taifa kupitia miradi mipya ya uwekezaji na maendeleo. Amesema hayo Februari 16, 2025 Kahama Mkoani Shinyanga wakati…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 10.33.23 AM

Naibu Waziri Dkt. Biteko anadi soko la mazao jamii ya mikunde India

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali ya Tanzania imejidhatiti kuboresha na kuimarisha sekta ya kilimo kwa kuja na mipango kadhaa yenye lengo la kuongeza fursa kwa wakulima nchini. Dkt. Biteko amesema hayo jijini New Delhi, India  wakati akishiriki mkutano kuhusu masuala ya mazao jamii ya mikunde. “Tunaongeza uwekezaji katika…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 10.51.07 AM

Tanzania yatumia wiki ya nishati India kunadi vitalu vya mafuta na gesi asilia

Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Tanzania (PURA) imeendelea  kuhamasisha wawekezaji mbalimbali duniani kushiriki katika Duru ya Tano ya Kunadi Vitalu vya utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia katika Bahari Kuu ya Hindi na Nchi Kavu itakayozinduliwa mwezi Machi, 2025. Matangazo ya fursa za uwekezaji kwenye Sekta ya Mafuta na Gesi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks