ttttt

Nyongeza ya 8,000 ni dhihaka kwa mfanyakazi: Tucta

Raisi wa Shirikisho la Vyama vya wafanyakazi TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema wamewasilisha malalamiko yao kwa Serikali kwani Kiwango cha nyongeza ya mshahara iliyoongezwa katika mwezi Julai ni kinyume na ahadi iliyotolewa na Rais Samia siku ya Mei Mosi mwaka huu kwani baadhi ya watumishi wamepata nyongeza ya shilingi Elfu Nane na kuendelea. “Hoja kubwa iliyotuleta…

Soma Zaidi
kkkk

Kariakoo saa 24

Mara baada ya ujenzi wa soko la Kariakoo kukamilika biashara zinatarajiwa kufanyika kwa saa 24. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameeleza hayo Julai 18, 2022 alipokutana na watendaji na viongozi wa mkoa kuzungumzia kampeni yake ya kuiependezesha Dar es Salaam. Mkuu huyo wa mkoa amesema Dar es Salaam ni Jiji la…

Soma Zaidi
TODC

Vituo 5 vya gesi asilia kujengwa nchini

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kufikia Desemba, 2023, linatarajia kujenga vituo vitano vya gesi asilia nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonyesho ya 16 Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dk. James Mataragio amesema vituo hivyo vitasaidia kupunguza malalamiko ya kuwa na vituo vichache vya gesi asilia….

Soma Zaidi
bbb

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23 Juni, 2022 wamepitisha mapendekezo ya hayo. Wajumbe hao wamepitisha mapendekezo hayo kwenye semina iliyoandaliwa na Wizara ya Afya ya kuimarisha mfumo wa bima ya afya nchini iliyofanyika kwenye ukumbi wa White house jijini Dodoma. Waziri…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks