Screen Shot 2025 04 30 at 2.15.38 PM

Gavana Tutuba akutana na Balozi wa Uingereza

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),  Emmanuel Tutuba, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Marianne Young, katika ofisi za Benki Kuu jijini Dar es Salaam, tarehe 29 Aprili 2025. Katika mazungumzo hayo, Gavana Tutuba alieleza kuwa uchumi wa Tanzania umeendelea kuimarika licha ya changamoto mbalimbali za kiuchumi duniani. Alibainisha kuwa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 29 at 3.14.08 PM

Afrika yaaswa kuimarisha ukusanyaji rasilimali za ndani kukabili misaada inayopungua

Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Sauda Msemo, amezitaka serikali za Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara kuimarisha ukusanyaji wa rasilimali za ndani ili kupunguza utegemezi mkubwa kwa misaada ya kigeni inayopungua. Akizungumza Aprili 28, 2025 katika mjadala ulioandaliwa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2025 04 28 at 15.34.21

Waziri Mkuu aagiza ufuatiliaji wa watendaji Vyama vya Ushirika

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iimarishe na kufanya ufuatiliaji wa watendaji wa Vyama vya Ushirika ili wazingatie maadili ya utumishi wa ushirika, uwazi, uwajibikaji na utawala bora, na hivyo kuwavutia wanachama na wawekezaji. Pia Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo, pamoja na Tume ya Maendeleo ya Ushirika, iharakishe na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 24 at 3.56.51 PM

Tanzania yapiga marufuku mazao ya Afrika Kusini, Malawi

Tanzania imepiga marufuku uingizwaji wa mazao yoyote ya kilimo kutoka Afrika ya Kusini na Malawi kuingia nchini Tanzania. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ametoa tamko hilo la serikali ya Tanzania Aprili 23, 2024. “Kama waziri wa Kilimo sijapokea notisi yoyote, mazungumzo yanaendelea na yanaongozwa na Waziri wetu wa Mambo ya Nje, lakini wakati mazungumzo yanaendelea…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 23 at 11.00.59 AM

Dkt. Mwigulu: Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko Sera za Marekani

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko ya sera za nje za Marekani kuhusu misaada kwa nchi za Afrika kwa kutumia rasilimali zake ndani kupitia Bajeti Kuu ya Serikali. Dkt. Nchemba amesema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 17 at 1.29.29 PM

Fedha za miradi ambazo hazijatumika hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali

Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali ikiwa ni utaratibu wa kusimamia uwajibikaji na uwazi katika matumizi ya fedha zilizotengwa katika bajeti. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmad Katani, aliyetaka kujua lini…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 10 at 3.43.18 PM

Jukwaa la Utalii wa Chakula Duniani, CHAN kuendelea kutangaza utalii wa Tanzania

Jukwaa la Pili la Utalii wa Chakula Duniani kwa Kanda ya Afrika linaloandaliwa na Shirika la Utalii Duniani linatarajiwa kufanyika hapa nchini Aprili 2025 jijini Arusha. Haya yamebainishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa alipokuwa akiwasilisha mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali na makadirio ya mapato na matumizi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks