WhatsApp Image 2023 12 22 at 14.15.15

Sheria ya majengo muarobaini wa gharama za ujenzi nchini

Imeelezwa kuwa kukosekana na sheria moja inayosimamia shughuli za ujenzi wa majengo imekuwa chanzo cha kusababisha gharama kubwa za ujenzi nchini. Mhandisi Ujenzi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC), Geofrey Mwakasenga, amesema katika kukabiliana na hali hiyo tayari baraza hilo limekamilisha mchakato wa kuandaa andiko linaloainisha umuhimu wa Sekta ya Ujenzi na hivyo kuwezesha…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 24 at 12.58.13

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Rais Samia amesema hayo katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojadili Masuala ya Tabianchi na Usalama wa Chakula Mkoani Arusha ulioandaliwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 20 at 11.55.32

Maliasili na Utalii kutumia akili bandia (AI)

Wizara ya Maliasili na utalii imesema inaanza kutumi akili bandia (Artificial Intelligence) katika kutekeleza majukumu yake ili kuleta ufanisi wenye tija katika tafiti za Wanyama. Imeeleza kuwa hivi karibuni itaanza kutumia AI kwenye kuandikisha watalii kutokea nchi wanazotoka hadi kwenye vivutio vya utalii watakavyotembelea. Haya yamebainika wakati Kamati ya Bunge ya kudumu ya Ardhi, Maliasili…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks