WhatsApp Image 2024 07 17 at 12.35.28

Rais Samia aahidi kufanya “Royal Tour” kuitangaza hifadhi ya Katavi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kufanya filamu nyingine ya Royal Tour katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi baada ya kujionea wanyamapori mbalimbali katika Hifadhi hiyo. Dkt. Samia ameyasema hayo Julai 15, 2024 wakati akizungumza na wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Mkoani Katavi. Kauli hiyo inafuatia ombi…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 15 at 15.06.15

Rais Samia asisitiza kilimo biashara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua vihenge, maghala ya kisasa na msimu wa ununuzi wa nafaka wa mwaka 2024/2025 katika Mkoa wa Katavi. Wakati wa uzinduzi uliofanyika Julai 14, 2024 Rais Samia alisisitiza kuwa maghala haya ni kiashiria tosha kuwa kilimo cha sasa kinahitaji kubadilika na kuwa kilimo cha…

Soma Zaidi
Kariakoo

Soko la Kariakoo kufunguliwa mwezi Agosti

Shirika la Masoko ya Kariakoo limetangaza kurejeshwa kwa wafanyabiashara 891 sokoni Kariakoo baada ya ujenzi wa soko jipya na ukarabati wa soko kuu kukamilika. Taarifa ya Manejimenti ya Masoko ya Kariakoo inaeleza kuwa orodha hiyo ina majina ya wafanyabiashara waliokidhi sifa na vigezo. “Wafanyabiashara wanaodaiwa na Shirika ambao wapo kwenye orodha wanajulishwa kuwa hawatarejeshwa sokoni…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 10 at 14.57.22

Serikali kuajiri walimu 12,000 mwaka wa fedha 2024/2025

Serikali ya Tanzania imesema katika mwaka wa fedha 2024/25 itaajiri walimu 12,000 ili kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu nchini. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Zainab Katimba amesema hayo wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kichangachui iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji. Katimba ameeleza mpango huo wa Serikali kuajiri walimu, mara baada ya…

Soma Zaidi
sawaaa

Vyama vya Ushirika vijijini vyatakiwa kuomba uwakala kusambaza mbolea

Vyama vya Ushirika vijijini vimetakiwa kuendeleea kuomba uwakala wa kusambaza mbolea katika maeneo mbalimbali ili kuweza kuwafikia wakulima kwa wakati. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema wakati wa ufunguzi wa Siku ya Ushirika Duniani (SUD) katika viwanja vya Nanenane vilivyopo Ipuli, Mkoani Tabora Julai 01, 2024 ambapo amemwakilisha Waziri wa Kilimo. Husein Bashe. ”Msimu…

Soma Zaidi
eee 1

Tanzania, Msumbiji kujadili biashara, uwekezaji

Tanzania na Msumbiji wanatarajiwa kushiriki mazungumzo ya pamoja ambayo yatajikita katika sekta ya biashara, uwekezaji, ulinzi na usalama. Mazungumzo hayo yanatarajiwa kufanyika Julai 02, 2024 ambapo Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi atafanya ziara ya Kiserikali ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Rais Samia na Rais Nyusi,…

Soma Zaidi
sawaaa

Tutaendelea kuunga mkono wawekezaji kwenye kilimo: Bashe

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Serikali itaendelea kuunga mkono wawekezaji wanaoonesha nia ya kuwekeza kwenye uongezaji thamani wa zao la alizeti hususan katika kuzalisha mafuta ya kupikia. Amesema hayo alipokutana kwa mazungumzo na wawakilishi kutoka Kampuni ya Mainland Group kutoka ya China Juni 24, 2024 jijini Dodoma. “Zao la alizeti ni miongoni mwa mazao…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks