Waziri ataka wawekezaji walindwe
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ametoa maagizo kwa Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kuwalinda wawekezaji hususani wa ndani ya nchi ili wasikwame katika suala la uwekezaji huku akiwaasa pia kuwawezesha pale panapostahili ili kukuza sekta ya uwekezaji nchini. Prof Mkumbo ametoa maagizo hayo Januari 5, 2025 wakati alipotembelea…
