WhatsApp Image 2024 10 22 at 12.13.08

Silinde: Tunathamini mchango wa SACCOS Kwenye utoaji wa huduma jumuishi za kifedha

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amewataka Viongozi na Watendaji wa SACCOS nchini kuendelea kubuni bidhaa na huduma zinazoendana na mahitaji ya wanachama pamoja na kuendelea kutoa elimu ya fedha kwa wanachama na Watanzania ili kuongeza matumizi ya huduma za fedha nchini. Amesema hayo Oktoba 21, 2024 wakati akifungua Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 08 19 at 12.28.57

Asali ya Tanzania yapata kibali kuuzwa China

Katika hatua kubwa inayotarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ya ufugaji nyuki, Serikali ya Tanzania imefanikiwa kusaini makubaliano na Serikali ya China, kuruhusu uuzaji wa asali ya Tanzania kwenye soko la China. Makubaliano haya yanafuatia jitihada za muda mrefu za kuhakikisha bidhaa za asali kutoka Tanzania zinapata nafasi ya kuuzwa katika soko kubwa zaidi duniani. Akizungumza…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks