Screen Shot 2025 05 02 at 12.24.08 PM

Maua ni fursa ya biashara

Watu wengi wanapenda kupendezesha nyumba zao ama ofisi kwa mapambo mbalimbali ikiwemo maua. Ama kwa hakika, bustani za maua mbalimbali zinazotunzwa vizuri ni kivutio kikubwa husasani majumbani na sehemu zingine mbalimbali. Vijana wengi wameanzisha biashara ya kuuza maua na wengine wakifanya kazi ya kutengeneza bustani (garden) kwa utaalamu. Biashara hii ambayo inakua kwa kasi imeweza…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 01 31 at 14.51.30

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa mbalimbali pamoja na programu za kuwezesha vijana. Amesema kwa kufanya hivyo, kutatatua changamoto kubwa ya ajira miongoni mwa vijana. Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo vikuu na vyuo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks