Wafanyakazi wachekelea nyongeza mishahara
Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amerudisha nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa kila mwaka iliyokuwa imeondolewa miaka saba iliyopita. “Mambo ni moto, mambo ni fire” alisikika Rais Samia wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Dunia Meimosi mkoani Morogoro. “Niseme pia, kuna nyongeza za mishahara za mwaka, ambazo kwa muda mrefu…
