Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wawekezaji nchini Japan.

Tanzania yaendelea kuishawishi Japan kuwekeza nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameendelea kuwashawishi wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta mbalimbali kwani Serikali imeshaboresha mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji. Amezitaja sekta hizo kuwa ni pamoja na kilimo, afya, uchumi wa buluu, nishati, miundombinu, ufugaji na TEHAMA. Waziri Mkuu ameyasema hayo Mei 28, 2025 alipokutana kwa nyakati tofauti na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2025 04 28 at 15.34.21

Waziri Mkuu aagiza ufuatiliaji wa watendaji Vyama vya Ushirika

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iimarishe na kufanya ufuatiliaji wa watendaji wa Vyama vya Ushirika ili wazingatie maadili ya utumishi wa ushirika, uwazi, uwajibikaji na utawala bora, na hivyo kuwavutia wanachama na wawekezaji. Pia Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo, pamoja na Tume ya Maendeleo ya Ushirika, iharakishe na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 02 at 12.53.30 PM

Taasisi za uhifadhi zatakiwa kulinda maeneo kwa teknolojia

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana amezitaka taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii zinazojishughulisha na masuala ya uhifadhi kuhakikisha zinaweka mikakati ya kulinda maeneo ya hifadhi kwa teknolojia. Ameyasema hayo Machi 29,2025 alipokuwa akizungumza na Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Arusha wakati wa ziara ya kikazi ambapo alikagua mradi…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 03 at 11.46.54 AM

Rais Dkt. Samia kurudisha hadhi ya Tanga

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema anataka kurudisha hadhi ya Tanga iwe Tanga yenye viwanda, Bandari kubwa lakini pia Tanga ya uvuvi. Rais Dkt. Samia amesema hayo wakati alipotembelea Bandari ya Tanga Machi 01, 2025. Rais Samia amesema “kwa muda mrefu wana Tanga na Watanzania tulitamani kuona manufaa zaidi kwa Bahari zetu na…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 03 at 10.59.05 AM

Kuifungua Kusini kiutalii ni kazi endelevu: CP. Wakulyamba

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na jitihada za kuifungua Kusini kiutalii kwa kuboresha usimamizi wa Maliasili na kukuza Utalii kwenye vivutio hivyo adhimu na adimu duniani hali itakayoongeza kuvutia watalii zaidi na kuchangia pato la taifa. Hayo yamebainishwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks