Matumizi Nishati Safi ya Kupikia yaongezeka kutoka 6% mpaka 16%
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezindua Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia, pamoja na Kampeni ya Kitaifa ya Uhamasishaji na Uelimishaji kuhusu Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia. Lengo la mkakati huo ni kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia na hivyo…
