Ndege nyuki kuanza kutumika ulinzi wa misitu Tanzania
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeanza rasmi kutumia ndege nyuki (drones) kwa ajili ya kuimarisha ulinzi wa misitu, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kisasa wa kukabiliana na vitendo haramu vinavyoathiri rasilimali za misitu nchini. Hatua hiyo imezinduliwa Juni 2, 2025, katika viwanja vya Ofisi ya Kanda ya Kusini ya TFS mkoani Mtwara,…
