WhatsApp Image 2024 08 12 at 11.30.50

Serikali kuwa na hati fungani ya usalama wa chakula nchini: Rais Samia

Serikali inafanya mchakato katika kuwezesha Hatifungani ya Usalama wa Chakula ili kukuza Sekta ya Kilimo na kukuza mtaji wa kukopesha wakulima. Pia imelenga kuwezesha Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) katika nyanja zote za kiteknolojia, vifaa bora pamoja na kuongeza ukubwa wa maghala ya kuhifadhia nafaka ili iweze kununua na kuhifadhi chakula kwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 06 21 at 4.37.08 PM

Benki ya NMB yapongezwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla ametoa wito kwa Benki ya NMB kuendelea kubuni huduma rafiki kwa makundi mbalimbali katika Jamii ili kuweza kuwafikia wateja wengi zaidi. RC Makalla ametoa wito huo wakati wa warsha kwa viongozi wa Serikali wa mkoa huo iliyolenga kueleza fursa mbalimbali zinazopatikana katika benki hiyo ikiwemo mikopo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks