Wachoma nyama nao watumia nishati safi ya kupikia 2025
Wachoma nyama nao watumia nishati Agizo la Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa minada yote nchini inakuwa na miundombinu itakayowawezesha wachoma nyama, mama lishe na baba lishe kutumia nishati Safi ya Kupikia limeanza kutekelezwa ikiwa ni utekelezaji wa ajenda ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha…
