sawaqq

Asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati safi ya kupikia ifakapo 2034

Inategemewa kuwa baada ya miaka tisa kutoka sasa (2025), asilimia 80 ya Watanzania watakuwa wanatumia nishati safi ya kupikia. Hiyo, itakuwa ni matokeo ya utekelezaji wa Mkakati wa Nishati safi ya Kupikia kitaifa unaosimamiwa na Kamati ya wataalam iliyoundwa na Maafisa Waandamizi kutoka katika Wizara na Taasisi mbalimbali. Kamati hiyo imefanya kikao kazi katika Ofisi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks