cant

Kushiriki maonesho China Dola 3,000

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imetangaza fursa kwa wafanyabiashara wa Tanzania wanaotaka kushiriki Maonesho makubwa ya Kimataifa ya biashara nchini China yajulikanayo kama Canton Fair. Kwa mujibu wa TanTrade gharama za kushiriki ni Dola za Marekani 3,000 kwa kila mshiriki. Gharama hizo zitahusisha usafiri wa ndege daraja la uchumi, usafiri wa ndani (ground…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks